Thanks all. Sorry I re-spelled her name - correctly it is "Grace Mutung'u" (as below that message). We are happy to have contributed!

regards,

Alex   

2009/9/16 Konstantinos Komaitis <[log in to unmask]>
This is absolutely brilliant and bravo to Alex and Muting’u.

KK



On 15/09/2009 22:13, "Robin Gross" <[log in to unmask]" target="_blank">[log in to unmask]> wrote:

Thank you, Alex and Muting'u!   This is certainly a first for NCUC and I hope it will help us to reach many more people in East Africa.   Thanks for your work to make that happen!

Best,
Robin


On Sep 15, 2009, at 12:05 PM, Alex Gakuru wrote:

Hi Robin, all,

Grace Muting'u has kindly translated the document into Kiswahili
(spoken by at least 120 million people in East African Community
member countries alone).

Asante (Thanks) Grace.

Regards,

Alex

---begins----
“Porojo Kumi maarufu zaidi  kuhusu uhusikaji wa mashirika ya shirika
la ICANN”, na NCUC

21 Agosti 2009
_____________________________________________________________________________
Porojo ya Kwanza

“Masirika ya kijamii hayatahusika kwenya ICANN chini ya mpango
uliopendekezwa na NCUC.”

Uwongo: Wafanyakazi wa ICANN na wengine wanadai kwamba
mashirika  ya  kijamii hukatwa tamaa yasijihusishe na ICANN
kwa vile mpango uliopendekezwa na ICANN hauhakikishi kwamba
viti katika Kamati ya GNSO vitagawiwa maeneo au washikadau wote.

Ukweli wa mambo ni kwamba uanachama wa NCUC unawakilisha
mashirika 143 yasiyo ya kibiashara pamoja na watu binafsi. Tangu
mwaka 2008 uanachama wa NCUC umeongezeka kwa zaidi ya 215%
- hii ni kwa mujibu wa mwito wa mashirika ya kijamii. Hakuna shirika
hata moja lisilo la kibiashara lililotoa maoni kwamba kuwepo tu kwa
viti vya maeneo katika Kamati ya GNSO ndipo kungewafanya kushiriki
kwenye ICANN. Katika mashirika yaliyotoa maoni yao, hakuna
lilisosema ya kwamba lingeshiriki kwenye ICANN sharti katiba ya
NSCG ingewahakikishia kiti kwenye Kamati ya GNSO.

Porojo ya Pili

“Wengi zaidi kutoka mashirika ya kijamii watashiriki kwenye ICANN
Bodi itakapoingilia”

Picha ya kweli: Kulazimisha kwa Bodi kwa katiba yake au kutosikiliza
kwa Bodi kwa vikundi vya mashirika ya kijamii kutaonekana kama
kukataliwa kwa maoni ya vile vikundi vingi vilivyoonelea kwamba ni hii
ni dhuluma dhidi ya mashirika ya kijamii. Sifa ya ICANN kati ya
mashirika yasiyo ya kibiashara itaharibika kabisa hatua mwafaka
isipochukuliwa au suluhu kupatikana. Hata kama vitendo hivyo
vingekubalika, matokeo  kamili kwa wafanya kazi na kwa katiba
ya NCSG itakuwa kuvinyima nguvu vikundi visivyo vya kibiashara
na kuvifanya hata visipende kushiriki. Kuteuliwa kwa waakilishi na
Bodi hufurutisha  vikundi visivyo vya kibiashara na watu binafsi.
Isitoshe, SIC inayowakilisha maeneo au washika dau wote inahitaji
fedha nyingi sana ambayo mashirika mengi yasiyo ya kibiashara
hayawezi kusimamilia. Pia, mpangilio huo utaleta mgawanyiko kati
ya vikundi huku vikipigania wanachama na kura. Vikundi vingi visivyo
vya kibiashara havitaweza kuingia ICANN GNSO chini ya mpango huo.

Porojo ya Tatu

Kuwepo kwa upinzani kunaweza kupuuzwa tu kama “kampeni ya
uandikaji barua”

Hii ni shutma isiyo ya kweli: Upinzani mkali wa mashirika ya kijamii
kwa katiba ya SIC ulitokea si mara moja bali mara mbili. Pia, kulikuwa
na ongezeko kubwa la wanachama wa NCUC lililotokana na kutopendezwa
kwa jamii yote kwa jumla na vitendo vya wafanyakazi pamoja na Bodi.
Kujaribu kupunguza ushiriki wa mashirika ya kijamii hakutafanikiwa na
kunaonyesha upotovu huu wa hali ya juu. ICANN inahitajika kuwa

--
Dr. Konstantinos Komaitis,
Lecturer in Law,
GigaNet Membership Chair,
University of Strathclyde,
The Lord Hope Building,
141 St. James Road,
Glasgow, G4 0LT,
UK
tel: +44 (0)141 548 4306
email: [log in to unmask]" target="_blank">[log in to unmask]